Surah Qasas aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qasas aya 19 in arabic text(The Stories).
  
   

﴿فَلَمَّا أَنْ أَرَادَ أَن يَبْطِشَ بِالَّذِي هُوَ عَدُوٌّ لَّهُمَا قَالَ يَا مُوسَىٰ أَتُرِيدُ أَن تَقْتُلَنِي كَمَا قَتَلْتَ نَفْسًا بِالْأَمْسِ ۖ إِن تُرِيدُ إِلَّا أَن تَكُونَ جَبَّارًا فِي الْأَرْضِ وَمَا تُرِيدُ أَن تَكُونَ مِنَ الْمُصْلِحِينَ
[ القصص: 19]

Basi alipo taka kumshika kwa nguvu yule aliye adui wao wote wawili, akasema: Ewe Musa! Unataka kuniuwa kama ulivyo muuwa mtu jana? Wewe hutaki ila kuwa jabari katika nchi, wala hutaki kuwa miongoni mwa wenye maslaha..

Surah Al-Qasas in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when he wanted to strike the one who was an enemy to both of them, he said, "O Moses, do you intend to kill me as you killed someone yesterday? You only want to be a tyrant in the land and do not want to be of the amenders."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi alipo taka kumshika kwa nguvu yule aliye adui wao wote wawili, akasema: Ewe Musa! Unataka kuniuwa kama ulivyo muuwa mtu jana? Wewe hutaki ila kuwa jabari katika nchi, wala hutaki kuwa miongoni mwa wenye maslaha


Na Musa alipo taka kumtumilia nguvu Mmisri, ambaye ni adui wao wote wawili; kwa sababu ya uadui huu, yule mtu alidhani kuwa Musa atamuuwa, basi akasema: Unataka kuniuwa kama ulivyo muuwa mtu jana? Wewe hutaki ila kuwa muasi tu katika nchi, wala hutaki kuwa miongoni wanao lingania maslaha na kheri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Qasas


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa
  2. Na mkiwa safarini na hamkupata mwandishi, yatosha kukabidhiwa rahani. Na mmoja wenu akimwekea amana mwenziwe
  3. Na shari ya alivyo viumba,
  4. Lakini watakapo iona karibu, nyuso za walio kufuru zitahuzunishwa, na itasemwa: Hayo ndiyo mliyo kuwa
  5. Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya!
  6. Na wakikuona walio kufuru hawakufanyi wewe ila ni kitu cha maskhara tu, (wakisema): Je! Ndiye
  7. Tangu zamani walitaka kukutilieni fitna, na wakakupindulia mambo juu chini, mpaka ikaja Haki na ikadhihirika
  8. Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
  9. Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila
  10. Wala sikutakeni juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Surah Qasas Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qasas Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qasas Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qasas Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qasas Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qasas Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qasas Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qasas Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qasas Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qasas Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qasas Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qasas Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qasas Al Hosary
Al Hosary
Surah Qasas Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qasas Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers