Surah Inshiqaq aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا لَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ﴾
[ الانشقاق: 20]
Basi wana nini hawaamini?
Surah Al-Inshiqaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So what is [the matter] with them [that] they do not believe,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wana nini hawaamini?
Wana nini hawa makafiri yanayo wazuia wasimuamini Mwenyezi Mungu na kufufuliwa baada ya kuwekwa wazi dalili zake zote za kuwajibika kwake?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia,
- Basi alimwonyesha Ishara kubwa.
- Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na hakika Mimi nikakufadhilisheni kuliko wengineo
- Ole wao hao wapunjao!
- Enyi mlio amini! Msiliane mali yenu kwa dhulma, isipo kuwa iwe biashara kwa kuridhiana wenyewe.
- Enyi mlio amini! Msiue wanyama wa kuwinda nanyi mmeharimia katika Hija. Na miongoni mwenu atakaye
- Na tukimwonjesha neema baada ya madhara yaliyo mpata husema: Taabu zimekwisha niondokea. Hakika yeye hujitapa
- Walipo kata tamaa naye wakenda kando kunong'ona. Mkubwa wao akasema: Je! Hamjui ya kwamba baba
- Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Inshiqaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Inshiqaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Inshiqaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



