Surah Shuara aya 196 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الشعراء: 196]
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, it is [mentioned] in the scriptures of former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
Na hakika kuitaja Qurani na kueleza kuwa inatoka kwa Mwenyezi Mungu kumteremshia Muhammad s.a.w. yametajwa katika Vitabu vya Manabii walio tangulia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yakiwapata watu madhara humwomba Mola wao Mlezi nao wametubu kwake. Kisha akiwaonjesha rehema itokayo kwake,
- Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
- Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Wala msifuate
- (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
- Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
- La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
- Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
- Na mwitaji kumwendea Mwenyezi Mungu kwa idhini yake, na taa yenye kutoa nuru.
- Msiombe kufa mara moja tu, bali mfe mara nyingi!
- Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



