Surah Shuara aya 196 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الشعراء: 196]
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, it is [mentioned] in the scriptures of former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
Na hakika kuitaja Qurani na kueleza kuwa inatoka kwa Mwenyezi Mungu kumteremshia Muhammad s.a.w. yametajwa katika Vitabu vya Manabii walio tangulia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi hiyo dhana yenu mliyo kuwa mkimdhania Mola wenu Mlezi. Imekuangamizeni; na mmekuwa miongoni mwa
- Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
- Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
- Ikiwa wanataka kukufanyia khiana, wao walikwisha mfanyia khiana Mwenyezi Mungu kabla yake, na Yeye akakuwezesha
- Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
- Na ambao wameamini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawaweka katika maghorofa ya Peponi yenye
- Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika
- Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
- Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers