Surah Shuara aya 195 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُّبِينٍ﴾
[ الشعراء: 195]
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
In a clear Arabic language.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
Jibril amekuteremshia kwa lugha ya Kiarabu, yenye maana wazi, yenye hoja zilizo dhaahiri kwa wanayo hitajia ya kutengeneza mambo yao ya dunia na Dini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanao mkimbia simba!
- Na utawezaje kuvumilia yale usiyo yajua vilivyo undani wake?
- S'ad, Naapa kwa Qur'ani yenye mawaidha.
- Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
- Basi wabashirie adhabu chungu!
- Na haya ni makumbusho yaliyo barikiwa, tuliyo yateremsha. Basi je! Mnayakataa?
- Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



