Surah Shuara aya 195 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُّبِينٍ﴾
[ الشعراء: 195]
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
In a clear Arabic language.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
Jibril amekuteremshia kwa lugha ya Kiarabu, yenye maana wazi, yenye hoja zilizo dhaahiri kwa wanayo hitajia ya kutengeneza mambo yao ya dunia na Dini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
- Hakika Waislamu wanaume na Waislamu wanawake, na Waumini wanaume na Waumini wanawake, na wat'iifu wanaume
- Naapa kwa wanao komoa kwa nguvu,
- Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
- Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?
- Siku tutapo waita kila kikundi cha watu kwa mujibu wa wakifuatacho - basi atakaye pewa
- Namna hivi anakubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake ili mpate kufahamu.
- Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu
- Na hawajii Nabii yeyote ila walikuwa wakimkejeli.
- Ni chakula cha mwenye dhambi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



