Surah Kawthar aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ﴾
[ الكوثر: 2]
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Surah Al-Kawthar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So pray to your Lord and sacrifice [to Him alone].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu atawadhihaki wao na atawawacha katika upotofu wao wakitangatanga ovyo.
- Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza.
- Na siri zote za katika mbingu na ardhi ziko kwa Mwenyezi Mungu. Wala halikuwa jambo
- Wakasema: Tumemsikia kijana mmoja akiwataja. Anaitwa Ibrahim.
- Wito wao humo utakuwa: Subhanaka Llahumma "Umetakasika Ee Mwenyezi Mungu!" Na maamkio yao humo ni
- Thamudi waliwakanusha Waonyaji.
- Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira
- Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi
- Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha
- Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kawthar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kawthar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kawthar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers