Surah Kawthar aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ﴾
[ الكوثر: 2]
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Surah Al-Kawthar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So pray to your Lord and sacrifice [to Him alone].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
- Basi utakapo kuja ukelele,
- Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
- Na baina ya makundi mawili hayo patakuwapo pazia. Na juu ya Mnyanyuko patakuwa watu watakao
- Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
- Na tuna nini hata tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ametuongoa kwenye Njia zetu. Na
- Na Mola wako Mlezi, alipo mwita Musa, akamwambia: Fika kwa watu madhaalimu,
- Mali aliyo leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwa watu wa hivi vijiji ni
- Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
- Mpaka tulipo wafungulia mlango wa adhabu kali, hapo ndipo wakawa wenye kukata tamaa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kawthar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kawthar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kawthar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers