Surah Kawthar aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ﴾
[ الكوثر: 2]
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Surah Al-Kawthar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So pray to your Lord and sacrifice [to Him alone].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Ilivyo kuwa umepewa hayo, basi dumisha Swala kwa Mola wako Mlezi kwa usafi kabisa, na uchinje dhabihu wako kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa aliyo kupa ya ukarimu, na akakukhusisha wewe khasa kwa kukupa kheri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au huviangamiza hivyo vyombo kwa sababu ya waliyo yatenda hao watu. Naye husamehe mengi.
- Na enyi watu wangu! Kukhalifiana nami kusikupelekeeni hata mkasibiwa kama walivyo sibiwa watu wa Nuhu,
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Na wasomee khabari za wana wawili wa Adam kwa kweli. Walipo toa mhanga, ukakubaliwa wa
- Kutokana nayo (ardhi) tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni, na kutoka humo tutakutoeni mara nyengine.
- Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
- Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
- Basi msujudieni Mwenyezi Mungu, na mumuabudu.
- Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie
- Na hatukumtuma Mtume yeyote ila at'iiwe kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na lau pale walipo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kawthar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kawthar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kawthar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers