Surah Al Isra aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَقُولُونَ عُلُوًّا كَبِيرًا﴾
[ الإسراء: 43]
Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Exalted is He and high above what they say by great sublimity.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Subhanahu Wa Taala, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
Mwenyezi Mungu ametakasika kabisa kama anavyo stahiki, na ametukuka aliye mkuu shani yake na yote wanayo dai kuwa wapo pamoja na Yeye miungu wengine.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, husema: Bali tunafuata tuliyo wakuta nayo baba
- Kwa kudai kwao kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana.
- Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
- Na akalifanya jua na mwezi kwa manufaa yenu daima dawamu, na akaufanya usiku na mchana
- Akasema: Naam! Nanyi bila ya shaka mtakuwa katika wa karibu nami.
- Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
- Na pindi tukimwonjesha rehema itokayo kwetu baada ya kumgusa dhara, bila ya shaka husema: Haya
- Hakika wewe unamwonya mwenye kufuata ukumbusho, na akamcha Arrahman, Mwingi wa Rehema, kwa ghaibu. Basi
- Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



