Surah Shuara aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَعَلَّنَا نَتَّبِعُ السَّحَرَةَ إِن كَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ﴾
[ الشعراء: 40]
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
That we might follow the magicians if they are the predominant?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huenda tutawafuata wachawi wakiwa wao ndio watakao shinda.
Wakatangaza matarajio yao ya kushinda wachawi, ili wapate kuthibiti katika dini yao, na pia ndio kampeni ya nguvu na juhudi apate kushindwa Musa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
- Kumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.
- Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
- Na watakao kuja na uovu, basi zitasunukishwa nyuso zao Motoni. Je! Kwani mnalipwa isipo kuwa
- Hapana cha kukanusha kutukia kwake.
- Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
- Na walisema: Kwa nini hakutuletea muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Je! Haikuwafikilia dalili wazi
- Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
- Na lau kuwa Mwenyezi Mungu asingeli waandikia kutoka, angeli waadhibu katika dunia. Na katika Akhera
- Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



