Surah Assaaffat aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالزَّاجِرَاتِ زَجْرًا﴾
[ الصافات: 2]
Na kwa wenye kukataza mabaya.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And those who drive [the clouds]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa wenye kukataza mabaya.
Na kwa wanao zuia wanao pindukia mipaka kwa mzuio mkali, nidhamu ibakie, na ulimwengu uhifadhiwe.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
- Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
- Wala wewe huwaombi ujira kwa haya. Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
- Je! Imekufikia hadithi ya Musa?
- Ambaye ni wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala hakuwa na
- Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?
- Hayo ni malipo yao kwa sababu walizikataa ishara zetu, na wakasema: Hivyo tukisha kuwa mifupa
- Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers