Surah Takwir aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَسْتَقِيمَ﴾
[ التكوير: 28]
Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa.
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For whoever wills among you to take a right course.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa.
Kwa anaye taka, miongoni mwenu, kusimama sawa kufikilia haki na kweli.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na fuateni yaliyo bora kabisa katika yale yaliyo teremshwa kwenu kutoka kwa Mola wenu Mlezi,
- Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi
- Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa.
- Ambao hutoa wanapo kuwa na wasaa na wanapo kuwa na dhiki, na wanajizuia ghadhabu, na
- Na namna hivi tumeiteremsha (Qur'ani) kuwa ni Aya zilizo wazi, na hakika Mwenyezi Mungu humwongoa
- Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
- Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira kwa Mola wao
- Wala wewe hukuwa upande wa magharibi tulipo mpa Musa amri, wala hukuwa katika walio hudhuria.
- Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers