Surah Assaaffat aya 159 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ﴾
[ الصافات: 159]
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Exalted is Allah above what they describe,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
SubhanaLlah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
Mwenyezi Mungu Mtukufu ametakasika na hizo sifa za kuemewa na za upungufu wanazo mzulia kuwa anazo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.
- Basi wanapo fikia muda wao, ima warejeeni muwaweke kwa wema, au farikianeni nao kwa wema.
- Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya!
- Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
- Walipo kata tamaa naye wakenda kando kunong'ona. Mkubwa wao akasema: Je! Hamjui ya kwamba baba
- Inapo mgusa shari hupapatika.
- Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
- Sema: Hakika imefunuliwa kwangu ya kwamba hakika Mungu wenu ni Mungu Mmoja tu. Je! Mmesilimu?
- Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
- Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers