Surah Assaaffat aya 159 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ﴾
[ الصافات: 159]
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Exalted is Allah above what they describe,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
SubhanaLlah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
Mwenyezi Mungu Mtukufu ametakasika na hizo sifa za kuemewa na za upungufu wanazo mzulia kuwa anazo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?
- Anaye geuza shingo yake ili kupoteza watu waache Njia ya Mwenyezi Mungu. Duniani atapata hizaya,
- Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
- Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
- Hawa wagomvi wawili walio gombana kwa ajili ya Mola wao Mlezi. Basi walio kufuru watakatiwa
- Wale ambao watakao kusanywa na kubururwa kifudifudi mpaka kwenye Jahannamu, hao watakuwa na mahali pabaya,
- Na siku atakapo waita na akasema: Wako wapi mlio kuwa mkidai kuwa ni washirika wangu?
- Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
- Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers