Surah Ibrahim aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا ذَٰلِكَ عَلَى اللَّهِ بِعَزِيزٍ﴾
[ إبراهيم: 20]
Na hilo kwa Mwenyezi Mungu si jambo gumu.
Surah Ibrahim in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that is not difficult for Allah.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hilo kwa Mwenyezi Mungu si jambo gumu.
Na kuondoa huko na kuleta si muhali wala si uzito kwa Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wale walio kufuru na wakadhulumu hawi Mwenyezi Mungu kuwasamehe wala kuwaongoa njia.
- Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama?
- Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
- Na hakika Mola wako Mlezi atawatimilizia malipo ya vitendo vyao. Hakika Yeye anayo khabari ya
- Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
- Au huviangamiza hivyo vyombo kwa sababu ya waliyo yatenda hao watu. Naye husamehe mengi.
- Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala
- Mpaka yakini ilipo tufikia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



