Surah Sad aya 63 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَتَّخَذْنَاهُمْ سِخْرِيًّا أَمْ زَاغَتْ عَنْهُمُ الْأَبْصَارُ﴾
[ ص: 63]
Tulikosea tulipo wafanyia maskhara, au macho yetu tu hayawaoni?
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Is it [because] we took them in ridicule, or has [our] vision turned away from them?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tulikosea tulipo wafanyia maskhara, au macho yetu tu hayawaoni ?
Imekuwaje kuwa sisi tukiwakejeli na wala hawakuingia Motoni pamoja nasi? Au wamekwisha ingia na macho yetu yakazibwa tusiwaone tu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Muitikieni Mola wenu Mlezi kabla haijafika siku isiyo epukika itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Siku hiyo
- Hakika tumekutuma wewe uwe Shahidi, na Mbashiri, na Mwonyaji,
- Na wanapo fanya mambo machafu husema: Tumewakuta nayo baba zetu, na Mwenyezi Mungu ametuamrisha hayo.
- Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina aliye anzisha kuumba viumbe, na kisha akavirejesha?
- Nawe unaukaa Mji huu.
- Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
- Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka
- Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
- Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
- Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers