Surah Mursalat aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا﴾
[ المرسلات: 2]
Na zinazo vuma kwa kasi!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the winds that blow violently
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na zinazo vuma kwa kasi!
Na kwa Aya zenye kuzitwaa kwa nguvu dini nyengine zote za uwongo zikizipeperushia mbali,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika
- Naye ndiye anaye pokea toba kwa waja wake, na anasamehe makosa, na anayajua mnayo yatenda.
- Hata ukiwa na pupa ya kutaka kuwaongoa, lakini Mwenyezi Mungu hamwongoi yule anaye shikilia kupotea.
- Basi alimwonyesha Ishara kubwa.
- Akasema: Ondokeni humu nyote, hali ya kuwa ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Na ukikufikieni uwongofu
- Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini Mtume, ili mpate kurehemewa.
- Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini,
- Ambaye ni wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala hakuwa na
- Wakishambulia wakati wa asubuhi,
- Ewe mtu! Hakika wewe unajikusuru kwa juhudi kumwendea Mola wako Mlezi, basi utamkuta.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers