Surah Qaf aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَنُفِخَ فِي الصُّورِ ۚ ذَٰلِكَ يَوْمُ الْوَعِيدِ﴾
[ ق: 20]
Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the Horn will be blown. That is the Day of [carrying out] the threat.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
Na baragumu litapulizwa kwa mpulizo wa kuwafufua watu. Kupulizwa huko kutakuwa siku hiyo ya kuteremka adhabu waliyo ahidiwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
- Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
- Na radi inamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumhimidi, na Malaika pia, kwa kumkhofu. Naye hupeleka mapigo
- Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
- Na wanyama wangapi hawawezi kujimilikia riziki zao! Mwenyezi Mungu anawaruzuku hao na nyinyi pia. Na
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Hakika humo hutakuwa na njaa wala hutakuwa uchi.
- Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
- Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
- Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers