Surah Qaf aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَنُفِخَ فِي الصُّورِ ۚ ذَٰلِكَ يَوْمُ الْوَعِيدِ﴾
[ ق: 20]
Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the Horn will be blown. That is the Day of [carrying out] the threat.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
Na baragumu litapulizwa kwa mpulizo wa kuwafufua watu. Kupulizwa huko kutakuwa siku hiyo ya kuteremka adhabu waliyo ahidiwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi anaye taka atakumbuka.
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo ni Haki
- Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
- Na tukakuondolea mzigo wako,
- Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
- Leo kila nafsi italipwa kwa iliyo chuma. Hapana dhulma leo. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi
- Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
- Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
- Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baada ya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



