Surah zariyat aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَفِي الْأَرْضِ آيَاتٌ لِّلْمُوقِنِينَ﴾
[ الذاريات: 20]
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And on the earth are signs for the certain [in faith]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
Na katika ardhi zipo dalili nyingi zilizo wazi zinazo pelekea yakini, kwa mwenye kuitafuta njia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
- Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
- (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.
- Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa
- Hawamtangulii kwa neno, nao wanafanya amri zake.
- Naapa kwa jua na mwangaza wake!
- Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani,
- Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
- Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
- Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers