Surah Nahl aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَعَلَامَاتٍ ۚ وَبِالنَّجْمِ هُمْ يَهْتَدُونَ﴾
[ النحل: 16]
Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And landmarks. And by the stars they are [also] guided.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza.
Na Mwenyezi Mungu ameweka alama za kuwaongoza watu katika safari zao kwenye ardhi, na hivyo wanapata uwongozi katika safari zao kwa nyota ambazo ameziweka mbinguni ziwaongoze wanapo kuwa gizani hawazioni alama za ardhini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye ndiye anaye huisha na anaye fisha. Akihukumu jambo liwe, basi huliambia: Kuwa! Likawa.
- Mwanaadamu hachoki kuomba dua za kheri, na inapo mpata shari, mara huvunjika moyo akakata tamaa.
- Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
- Hayo ni kwa sababu nyinyi mlizifanyia mzaha Aya za Mwenyezi Mungu; na maisha ya dunia
- Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
- Asaa Mwenyezi Mungu akatia mapenzi baina yenu na hao maadui zenu, na Mwenyezi Mungu ni
- Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa nyinyi ni wakweli?
- Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
- Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?
- Pale tulipo mfunulia mama yako yaliyo funuliwa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



