Surah Nahl aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَعَلَامَاتٍ ۚ وَبِالنَّجْمِ هُمْ يَهْتَدُونَ﴾
[ النحل: 16]
Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza.
Surah An-Nahl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And landmarks. And by the stars they are [also] guided.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza.
Na Mwenyezi Mungu ameweka alama za kuwaongoza watu katika safari zao kwenye ardhi, na hivyo wanapata uwongozi katika safari zao kwa nyota ambazo ameziweka mbinguni ziwaongoze wanapo kuwa gizani hawazioni alama za ardhini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono
- Sema: Yeye ndiye Mwingi wa Rehema; tunamuamini Yeye, na juu yake tunategemea. Mtakuja jua ni
- Na kaumu ngapi tuliziangamiza kabla yao walio kuwa na nguvu zaidi kuliko hawa! Nao walitanga
- Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?
- Isipo kuwa Iblisi; alijivuna na akawa katika makafiri.
- Hakika wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hao ndio miongoni mwa madhalili wa mwisho.
- Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
- Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo na mbuzi wangu. Tena inanifaa
- Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake.
- Nabii ni bora zaidi kwa Waumini kuliko nafsi zao. Na wake zake ni mama zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



