Surah Sad aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sad aya 27 in arabic text(Sad).
  
   
ayat 27 from Surah Saad

﴿وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاءَ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا بَاطِلًا ۚ ذَٰلِكَ ظَنُّ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ فَوَيْلٌ لِّلَّذِينَ كَفَرُوا مِنَ النَّارِ
[ ص: 27]

Na hatukuziumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni dhana ya walio kufuru. Ole wao walio kufuru kwa Moto utao wapata.

Surah Saad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We did not create the heaven and the earth and that between them aimlessly. That is the assumption of those who disbelieve, so woe to those who disbelieve from the Fire.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hatukuziumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni dhana ya walio kufuru. Ole wao walio kufuru kwa Moto utao wapata.


Wala Sisi hatukuziumba mbingu na ardhi na viliomo baina yao kwa mchezo. Hayo ndiyo wanayo yadhania makafiri. Na kwa hivyo wakapitisha hukumu kwa mujibu wa pumbao zao. Basi hao walio kufuru watapata adhabu kali ya Moto.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from Sad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na
  2. Je! Wenye maradhi nyoyoni mwao wanadhani kwamba Mwenyezi Mungu hatazidhihirisha chuki zao?
  3. Akamfundisha kubaini.
  4. Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
  5. Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao
  6. Na tafuteni msaada kwa kusubiri na kwa kusali; na kwa hakika jambo hilo ni gumu
  7. Hao hawawezi kushinda katika ardhi, wala hawana walinzi isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Watazidishiwa adhabu. Hawakuwa
  8. Ama amemzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au ana wazimu. Bali wasio amini Akhera wamo adhabuni na
  9. Je! Hawaoni ya kwamba wanatiwa mtihanini kila mwaka mara moja au mara mbili? Kisha hawatubu,
  10. Na yule aliye mnunua huko Misri alimwambia mkewe: Mtengenezee makaazi ya hishima huyu; huenda akatufaa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Surah Sad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sad Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Sad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sad Al Hosary
Al Hosary
Surah Sad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, February 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers