Surah Shuara aya 181 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿۞ أَوْفُوا الْكَيْلَ وَلَا تَكُونُوا مِنَ الْمُخْسِرِينَ﴾
[ الشعراء: 181]
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Give full measure and do not be of those who cause loss.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
Shuaibu akawaamrisha kutimiza vipimo kwa ukamilifu wanapo pima, kwani ilikuwa ada yao kupunguza kwa pishi na mizani, kupunguza haki za watu kwa kuwapunja na kuwapimia kasoro.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
- Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na
- Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye
- Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
- Alif Laam Miim.
- Na ikiwa Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea hayo ila Yeye. Na ikiwa
- Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.
- Na tukambainishia zote njia mbili?
- Au wanasema: Ameizua? Sema: Basi leteni Sura kumi zilizo zuliwa mfano wa hii, na waiteni
- Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



