Surah Zumar aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zumar aya 29 in arabic text(The Crowds).
  
   

﴿ضَرَبَ اللَّهُ مَثَلًا رَّجُلًا فِيهِ شُرَكَاءُ مُتَشَاكِسُونَ وَرَجُلًا سَلَمًا لِّرَجُلٍ هَلْ يَسْتَوِيَانِ مَثَلًا ۚ الْحَمْدُ لِلَّهِ ۚ بَلْ أَكْثَرُهُمْ لَا يَعْلَمُونَ
[ الزمر: 29]

Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na bwana mmoja tu. Je! Wako sawa katika hali zao? Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu! Lakini wengi wao hawajui.

Surah Az-Zumar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Allah presents an example: a slave owned by quarreling partners and another belonging exclusively to one man - are they equal in comparison? Praise be to Allah! But most of them do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na bwana mmoja tu. Je! Wako sawa katika hali zao? Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu! Lakini wengi wao hawajui.


Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mshirikina kama mtumwa aliye milikiwa na watu kadhaa wenye kushirikiana, na wenye kumgombania. Na mfano wa mwenye kuamini Mwenyezi Mungu Mmoja kama mtu ambaye amemilikiwa na mtu mmoja tu. Je hao wanakuwa sawa? Alhamdulillahi kwa kusimama hoja mbele ya watu. Lakini watu wengi hawaijui Haki.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 29 from Zumar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ili nyoyo za wasio amini Akhera zielekee hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma.
  2. Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.
  3. Na kadhaalika Mola wako Mlezi atakuteuwa na atakufundisha tafsiri ya mambo. Na atatimiza neema zake
  4. Hakika wasio amini Akhera bila ya shaka wao ndio wanawaita Malaika kwa majina ya kike.
  5. Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
  6. Kisha tumewarithisha Kitabu hao ambao tuliwateuwa miongoni mwa waja wetu. Kati yao yupo aliye jidhulumu
  7. Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.
  8. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize
  9. Hakika Mola wako Mlezi anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za
  10. Na kundi moja katika miongoni mwao lilipo sema: Enyi watu wa Yathrib! Hapana kukaa nyinyi!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Surah Zumar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zumar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zumar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zumar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zumar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zumar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zumar Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Zumar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zumar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zumar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zumar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zumar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zumar Al Hosary
Al Hosary
Surah Zumar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zumar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب