Surah Zumar aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُرْآنًا عَرَبِيًّا غَيْرَ ذِي عِوَجٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ﴾
[ الزمر: 28]
Qur'ani ya Kiarabu isiyo na upogo, ili wamche Mungu.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It is] an Arabic Qur'an, without any deviance that they might become righteous.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Qurani ya Kiarabu isiyo na upogo, ili wamche Mungu.
Tumeiteremsha Qurani ya Kiarabu kwa ulimi wao, haina upungufu, kwa kutaraji kuwa watamcha na watamwogopa Mola wao Mlezi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
- Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
- Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
- Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
- Wale ambao kwamba macho yao yalikuwa paziani hayanikumbuki, na wakawa hawawezi kusikia.
- Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila kuwa mbali nayo.
- Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
- Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
- Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
- Na Zakaria na Yahya na Isa na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



