Surah Shuara aya 198 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ﴾
[ الشعراء: 198]
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And even if We had revealed it to one among the foreigners
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,.
Na lau tungeli mteremshia mtu asiye kuwa Mwaarabu, anaye weza kusema Kiarabu lakini si kwa ufasihi, wasingeli waza kumtuhumu kuwa kaizua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
- Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
- Na wachache katika wa mwisho.
- Naapa kwa Mji huu!
- Maadui hawatakudhuruni ila ni maudhi tu. Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa.
- Na Zakaria na Yahya na Isa na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.
- Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
- Ole wake kila safihi, msengenyaji!
- Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
- Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers