Surah Shuara aya 198 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ﴾
[ الشعراء: 198]
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And even if We had revealed it to one among the foreigners
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,.
Na lau tungeli mteremshia mtu asiye kuwa Mwaarabu, anaye weza kusema Kiarabu lakini si kwa ufasihi, wasingeli waza kumtuhumu kuwa kaizua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na husema: Waliomo matumboni mwa wanyama hawa ni kwa ajili ya wanaume wetu tu, na
- Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio mkwawacha wanawake? Kumbe nyinyi ni watu wafujaji!
- Hakika wema bila ya shaka watakuwa katika neema,
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Akasema: Itupe, ewe Musa!
- Na Mwenyezi Mungu amekuotesheni katika ardhi kama mimea.
- Na inapo mgusa kheri huizuilia.
- Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
- Sema: Toeni mkipenda msipende. Hakitopokelewa kitu kwenu, kwani nyinyi ni watu wapotovu.
- Kisha tunakivutia kwetu kidogo kidogo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers