Surah Insan aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا رَأَيْتَ ثَمَّ رَأَيْتَ نَعِيمًا وَمُلْكًا كَبِيرًا﴾
[ الإنسان: 20]
Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when you look there [in Paradise], you will see pleasure and great dominion.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
Na ukitazama popote katika hiyo Pepo utaona neema kubwa, na ufalme ulio tanda.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
- Alikunja kipaji na akageuka,
- Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.
- Anaingiza usiku katika mchana, na anaingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni Mwenye kuyajua yaliomo
- Nami nitawapa muda. Hakika mpango wangu ni madhubuti.
- Mfalme alisema: Mlikuwa mna nini mlipo mtaka Yusuf kinyume na nafsi yake? Wakasema: Hasha Lillahi!
- Ya kuwa mtie katika kisanduku, na kisha kitie mtoni, na mto utamfikisha ufukweni. Atamchukua adui
- Nasi tutawaita Mazabania!
- Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na hakika Mimi nikakufadhilisheni kuliko wengineo
- Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers