Surah Mursalat aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا﴾
[ المرسلات: 3]
Na zikaeneza maeneo yote!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [by] the winds that spread [clouds]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na zikaeneza maeneo yote!
Na kwa Aya zenye kueneza hikima na uwongofu katika nyoyo za walimwengu kwa uenezi mkubwa mno,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini tukiwaondolea adhabu mpaka muda fulani wao waufikie, mara wakivunja ahadi yao.
- Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
- Basi jicho litapo dawaa,
- Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na
- Na watasema wale walio fuata: Laiti tungeweza kurudi tukawakataa wao kama wanavyo tukataa sisi! Hivi
- Walipo tupa, Musa alisema: Mliyo leta ni uchawi. Hakika Mwenyezi Mungu haitengenezi kazi ya waharibifu.
- Kisha nyoyo zenu zikawa ngumu baada ya hayo, hata zikawa kama mawe au ngumu zaidi;
- Matunda yake yakaribu.
- Na katika watu wapo wanao chukua waungu wasio kuwa Mwenyezi Mungu. Wanawapenda kama kumpenda Mwenyezi
- Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



