Surah Anfal aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 3 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَمِمَّا رَزَقْنَاهُمْ يُنفِقُونَ﴾
[ الأنفال: 3]

Hao ambao wanashika Sala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The ones who establish prayer, and from what We have provided them, they spend.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ambao wanashika Swala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.


Na hao Waumini walio wa kweli katika Imani, wanashika Swala kwa kutimiza nguzo zake, na kukamilisha unyenyekevu na utiifu, ili wawe daima katika kumkumbuka Mwenyezi Mungu, na wanatoa katika mali aliyo waruzuku Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taala, kwa ajili ya Jihadi, na mambo yote ya kheri, na kuwasaidia wanyonge.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili

  1. Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu huteremsha maji kutoka mbinguni, na mara ardhi inakuwa chanikiwiti? Hakika
  2. (Musa) akasema: Usinichukulie kwa niliyo sahau, wala usinipe uzito kwa jambo langu.
  3. Nendeni na kanzu yangu hii na mumwekee usoni baba yangu, atakuwa mwenye kuona. Na mje
  4. Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote.
  5. Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.
  6. Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.
  7. Yeye ndiye Mwenye funguo za mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika
  8. Basi Mola wake Mlezi akamwitikia, na akamwondoshea vitimbi vyao. Hakika Yeye ni Msikizi Mjuzi.
  9. Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
  10. Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Surah Anfal Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anfal Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anfal Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anfal Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anfal Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anfal Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Anfal Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anfal Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anfal Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anfal Al Hosary
Al Hosary
Surah Anfal Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anfal Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب