Surah Anfal aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَمِمَّا رَزَقْنَاهُمْ يُنفِقُونَ﴾
[ الأنفال: 3]
Hao ambao wanashika Sala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.
Surah Al-Anfal in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The ones who establish prayer, and from what We have provided them, they spend.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao ambao wanashika Swala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.
Na hao Waumini walio wa kweli katika Imani, wanashika Swala kwa kutimiza nguzo zake, na kukamilisha unyenyekevu na utiifu, ili wawe daima katika kumkumbuka Mwenyezi Mungu, na wanatoa katika mali aliyo waruzuku Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taala, kwa ajili ya Jihadi, na mambo yote ya kheri, na kuwasaidia wanyonge.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa
- Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
- Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
- Na hapo zamani tuliagana na Adam, lakini alisahau, wala hatukuona kwake azma kubwa.
- Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
- Na anapo kijua kitu kidogo katika Aya zetu hukifanyia mzaha. Watu hao ndio watakao kuwa
- Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanya vitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ila
- Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi
- Na Yeye ndiye anaye peleka pepo (za kuvuma) kuwa ni bishara kabla ya kufika rehema
- Nguo zao zitakuwa za lami, na Moto utazigubika nyuso zao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



