Surah Anbiya aya 100 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَهُمْ فِيهَا لَا يَسْمَعُونَ﴾
[ الأنبياء: 100]
Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For them therein is heavy sighing, and they therein will not hear.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
Humo watatoa pumzi zitokazo vifuani kwa sauti kama ya mwenye kukabwa, kwa dhiki watayo pata, na hawatasikia la kuwafurahisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Walio kuwa kabla yao walikadhibisha, na ikawajia adhabu kutoka pahala wasipo patambua.
- Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
- Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi.
- Na vipi mkufuru hali nyinyi mnasomewa Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu?
- Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walio shirikisha kabla yetu, na sisi ni dhuriya zao
- Nasi kwa rehema zetu tukampa nduguye, Harun, awe Nabii.
- Au hawakumjua Mtume wao, ndio maana wanamkataa?
- Akitaka atakuondoeni, enyi watu! Na awalete wengineo. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa hayo.
- Akasema: Nipe muhula mpaka siku watakapo fufuliwa.
- Na humo tuliwaandikia ya kwamba roho kwa roho, na jicho kwa jicho, na pua kwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers