Surah Jathiyah aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 31 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿وَأَمَّا الَّذِينَ كَفَرُوا أَفَلَمْ تَكُنْ آيَاتِي تُتْلَىٰ عَلَيْكُمْ فَاسْتَكْبَرْتُمْ وَكُنتُمْ قَوْمًا مُّجْرِمِينَ﴾
[ الجاثية: 31]

Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani hamkuwa mkisomewa Aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa watu wakosefu?

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But as for those who disbelieved, [it will be said], "Were not Our verses recited to you, but you were arrogant and became a people of criminals?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani hamkuwa mkisomewa Aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa watu wakosefu?


Na ama walio mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake wataambiwa kwa kuwahizi: Kwani hawakukujilieni Mitume wangu? Hamkusomewa Aya zangu, nanyi mkajiona bora hamfai kuikubali haki, na mkawa kaumu ya makafiri?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 31 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Mwenyezi Mungu) akasema: Tutautia nguvu mkono wako kwa nduguyo, na tutakupeni madaraka, hata wasikufikilieni. Kwa
  2. Ni kama ada ya watu wa Firauni na walio kabla yao - walizikanusha Ishara za
  3. Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
  4. Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
  5. Wapi! Bila ya shaka zilikujia Ishara zangu, nawe ukazikadhibisha, na ukajivuna, na ukawa miongoni mwa
  6. Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari, ili kuwatishia maadui wa
  7. Na Musa alisema: Mkikufuru nyinyi na wote waliomo duniani, hakika Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, Anajitosha,
  8. Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye
  9. Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu
  10. Basi walimkanusha. Nasi tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika jahazi. Na tukawazamisha wale

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jathiyah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jathiyah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jathiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jathiyah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jathiyah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jathiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, October 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers