Surah Mursalat aya 33 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَأَنَّهُ جِمَالَتٌ صُفْرٌ﴾
[ المرسلات: 33]
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As if they were yellowish [black] camels.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
Au utaona hayo macheche kama ngamia weusi wenye kuingia rangi ya manjano.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Naye ni Muweza wa
- Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
- Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
- Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
- Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana
- Je! Huu ni uchawi, au hamwoni tu?
- Atakaye tenda wema atapata malipo bora kuliko huo wema alio utenda. Na atakaye tenda uovu,
- Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
- Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
- Na kwa usiku unapo tanda!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers