Surah Assaaffat aya 157 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأْتُوا بِكِتَابِكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ الصافات: 157]
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then produce your scripture, if you should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
Basi leteni hoja zenu, ikiwa mnazo hoja za katika Kitabu cha mbinguni, kama nyinyi ni wakweli katika hayo myasemayo na mnayo yahukumia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kwa nini mnaniudhi, nanyi mnajua kuwa
- Na katika mbingu ziko riziki zenu na mliyo ahidiwa.
- Mbingu itapo chanika,
- Hawakumuadhimisha Mwenyezi Mungu anavyo stahiki kuadhimishwa. Hakika Mwenyezi Mungu bila ya shaka ni Mwenye kushinda.
- Lakini walio kufuru wamo katika majivuno na upinzani
- Basi nawapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa
- Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
- Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
- Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
- Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



