Surah Assaaffat aya 157 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأْتُوا بِكِتَابِكُمْ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ الصافات: 157]
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then produce your scripture, if you should be truthful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
Basi leteni hoja zenu, ikiwa mnazo hoja za katika Kitabu cha mbinguni, kama nyinyi ni wakweli katika hayo myasemayo na mnayo yahukumia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini walio kufuru wamo katika majivuno na upinzani
- Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
- Mwenyezi Mungu hana mwana yeyote, wala hanaye mungu mwengine. Inge kuwa hivyo basi kila mungu
- Na utawadhihirikia ubaya wa waliyo yachuma, yatawazunguka waliyo kuwa wakiyafanyia mzaha.
- Na mara ya tano kwamba laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake ikiwa ni miongoni
- Mnayo humo matunda mengi mtakayo yala.
- Mali yangu hayakunifaa kitu.
- Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
- Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
- Basi Malaika wakat'ii wote pamoja.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers