Surah Najm aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ﴾
[ النجم: 35]
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Does he have knowledge of the unseen, so he sees?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
Je! Huyo anayo ilimu ya kujua mambo ya ghaibu, basi kwa hivyo ndio anayajua yanayo mpelekea kuiacha kuifuata Haki, na akafanya ubakhili wa mali?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na alipo kuja Isa na dalili zilizo wazi, alisema: Nimekujieni na hikima, na ili nikuelezeni
- Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.
- Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie.
- Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika Mwenyezi Mungu
- Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
- Na Yeye ndiye aliyeizuia mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika bonde la Makka
- Na katika Ishara zake ni kwamba unaiona ardhi nyonge, lakini tunapo iteremshia maji mara unaiona
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mpasuaji mbegu na kokwa, zikachipua. Humtoa aliye hai kutoka maiti, naye
- Hakuna mungu ila Yeye; anahuisha na anafisha- Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers