Surah Najm aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمْ لِلْإِنسَانِ مَا تَمَنَّىٰ﴾
[ النجم: 24]
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or is there for man whatever he wishes?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
Mwanaadamu hapati kila anacho kitamani, ya kupata uombezi wa haya masanamu au mengineyo anayo yatamani kwa nafsi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
- Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja la
- Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
- Kama ada ya watu wa Firauni na walio kuwa kabla yao - walizikataa Ishara za
- Naapa kwa nyota inapo tua,
- Kutokana nayo (ardhi) tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni, na kutoka humo tutakutoeni mara nyengine.
- Hakika Sisi tulimtuma Nuh'u kwa watu wake: Uwaonye kaumu yako kabla ya kuwafikia adhabu chungu.
- Huenda labda ukajikera nafsi yako kwa kuwa hawawi Waumini.
- Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio
- Wakidabiri mambo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers