Surah Fatir aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatir aya 38 in arabic text(The Originator).
  
   
ayat 38 from Surah Fatir

﴿إِنَّ اللَّهَ عَالِمُ غَيْبِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ إِنَّهُ عَلِيمٌ بِذَاتِ الصُّدُورِ
[ فاطر: 38]

Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni Mjuzi wa yaliomo vifuani.

Surah Fatir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, Allah is Knower of the unseen [aspects] of the heavens and earth. Indeed, He is Knowing of that within the breasts.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni Mjuzi wa yaliomo vifuani.


Hakika Mwenyezi Mungu anajua vyema kila kilicho fichikana katika mbingu na ardhi. Hapana chenye kufichikana kwake. Na lau ange kukubalieni akakurudisheni duniani mngeli rejea yale yale aliyo kukatazeni. Hakika Yeye Mtukufu anavijua vyema vishawishi na vivutio viliomo ndani ya vifua.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 38 from Fatir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
  2. Na wale wanao kishikilia Kitabu, na wakashika Sala - hakika Sisi hatupotezi ujira wa watendao
  3. Hakika Mola wako Mlezi anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za
  4. Enyi mlio amini! Nawakutakeni idhini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia na walio bado kubaalighi
  5. Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
  6. Wale ambao huwafanya makafiri kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je! Wanataka wapate kwao utukufu?
  7. Na lau tungeli ifanya Qur'ani kwa lugha ya kigeni wangeli sema: Kwanini Aya zake haziku
  8. Sema: Mwenyezi Mungu angeli taka nisingeli kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni. Kwani nalikwisha kaa nanyi umri
  9. Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
  10. Na ikiteremka Sura hutazamana wao kwa wao, (kama kwamba wanasema:) Je! Yuko mtu anakuoneni? Kisha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatir Complete with high quality
Surah Fatir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fatir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatir Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, August 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers