Surah Nuh aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nuh aya 4 in arabic text(Noah).
  
   
ayat 4 from Surah Nuh

﴿يَغْفِرْ لَكُم مِّن ذُنُوبِكُمْ وَيُؤَخِّرْكُمْ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى ۚ إِنَّ أَجَلَ اللَّهِ إِذَا جَاءَ لَا يُؤَخَّرُ ۖ لَوْ كُنتُمْ تَعْلَمُونَ
[ نوح: 4]

Atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni mpaka muda ulio wekwa. Hakika muda wa Mwenyezi Mungu utapo fika haucheleweshwi. Laiti mngejua!

Surah Nuh in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Allah will forgive you of your sins and delay you for a specified term. Indeed, the time [set by] Allah, when it comes, will not be delayed, if you only knew.' "


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Atakughufirieni madhambi yenu, na atakuakhirisheni mpaka muda ulio wekwa. Hakika muda wa Mwenyezi Mungu utapo fika haucheleweshwi. Laiti mngejua!


Ndipo Mwenyezi Mungu atapo kusameheni madhambi yenu, na atakupeni umri mrefu mpaka ifike ajali iliyo wekwa mwisho wa umri wenu. Hakika mauti yakija hayaakhirishwi kabisa! Lau kuwa mngeli jua majuto mtakayo kuwa nayo utapo kwisha muda wenu mngeli amini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Nuh


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji kwa kiasi na tukayatuliza katika ardhi. Na hakika Sisi tunaweza
  2. Bila ya shaka kauli imekwisha thibiti juu ya wengi katika wao, kwa hivyo hawaamini.
  3. Wala msiwauwe wana wenu kwa kuogopa umasikini. Sisi tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua hao
  4. Enyi Watu! Amekwisha kujieni Mtume huyu na haki itokayo kwa Mola wenu Mlezi. Basi aminini,
  5. Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni
  6. Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na walio wema miongoni mwa baba zao, na
  7. Akasema: Kwa hakika nimepewa haya kwa sababu ya ilimu niliyo nayo. Je! Hakujua kwamba Mwenyezi
  8. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Wakasujudu, isipo kuwa Iblisi, alikataa.
  9. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika
  10. Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru:

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Surah Nuh Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nuh Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nuh Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nuh Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nuh Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nuh Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nuh Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nuh Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nuh Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nuh Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nuh Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nuh Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nuh Al Hosary
Al Hosary
Surah Nuh Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nuh Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, March 15, 2026

Please remember us in your sincere prayers