Surah Sad aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sad aya 44 in arabic text(Sad).
  
   
ayat 44 from Surah Saad

﴿وَخُذْ بِيَدِكَ ضِغْثًا فَاضْرِب بِّهِ وَلَا تَحْنَثْ ۗ إِنَّا وَجَدْنَاهُ صَابِرًا ۚ نِّعْمَ الْعَبْدُ ۖ إِنَّهُ أَوَّابٌ
[ ص: 44]

Na shika kicha cha vijiti tu mkononi mwako, kisha ndio upigie nacho, wala usivunje kiapo. Hakika tulimkuta mwenye subira, mbora wa waja, kwa hakika alikuwa mwingi wa kutubu.

Surah Saad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[We said], "And take in your hand a bunch [of grass] and strike with it and do not break your oath." Indeed, We found him patient, an excellent servant. Indeed, he was one repeatedly turning back [to Allah].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na shika kicha cha vijiti tu mkononi mwako, kisha ndio upigie nacho, wala usivunje kiapo. Hakika tulimkuta mwenye subira, mbora wa waja, kwa hakika alikuwa mwingi wa kutubu.


Ayubu alikuwa kaapa kuwa atampiga mmoja wapo katika ahali zake fimbo kadhaa wa kadhaa. Mwenyezi Mungu alimhalalishia aondoe kiapo chake kwa kuchukua kifungu cha fimbo idadi ile ile alio apia kuwa atampigia. Basi kwa kile kifungu cha fimbo ampige aliye apa kuwa atampiga, na hapo yamini yake itakuwa imetimia kwa uchache wa machungu. Mwenyezi Mungu ndiye aliye mneemesha kwa neema hizi, kwa sababu Mwenyezi Mungu alimwona kuwa ni mtu aliye vumilia masaibu yake. Kwa hivyo amestahiki sifa. Mbora wa kusifiwa kwa ibada ni yeye, kwa sababu yeye ni mwingi mno wa kurejea kwa Mwenyezi Mungu katika kila jambo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 44 from Sad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au
  2. Hatauingia ila mwovu kabisa!
  3. Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabonde yakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafuriko yakachukua mapovu
  4. Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu
  5. Hakika Mwenyezi Mungu hakifichiki chochote kwake, duniani wala mbinguni.
  6. Wanakusimbulia kuwa wamesilimu! Sema: Msinisimbulie kwa kusilimu kwenu. Bali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kufanyieni hisani
  7. Na siku watakapo letwa makafiri Motoni wakaambiwa: Je! Haya si kweli? Watasema: Kwani? Tunaapa kwa
  8. Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi kwa haki.
  9. Na Mola wako Mlezi amemfunulia nyuki: Jitengenezee majumba yako katika milima, na katika miti, na
  10. Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Surah Sad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sad Al Hosary
Al Hosary
Surah Sad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, January 16, 2026

Please remember us in your sincere prayers