Surah Sad aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاذْكُرْ عِبَادَنَا إِبْرَاهِيمَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ أُولِي الْأَيْدِي وَالْأَبْصَارِ﴾
[ ص: 45]
Na wakumbuke waja wetu, Ibrahim na Is-haqa na Yaa'qubu walio kuwa na nguvu na busara.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And remember Our servants, Abraham, Isaac and Jacob - those of strength and [religious] vision.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakumbuke waja wetu, Ibrahim na Is-haqa na Yaaqubu walio kuwa na nguvu na busara.
Na mkumbuke mja wetu Ibrahim, na Is-haqa, na Yaaqubu, wenye nguvu katika Dini na dunia, na wenye busara ya mwangaza.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Usiogope. Sisi tunakubashiria kijana mwenye ujuzi.
- Na likakusanywa jua na mwezi,
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
- Bila ya shaka itakuwa tumemzulia uwongo Mwenyezi Mungu tukirudi katika mila yenu baada ya kwisha
- Na Mola wako Mlezi huumba na huteuwa atakavyo. Viumbe hawana khiari. Mwenyezi Mungu ametukuka na
- Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi nawazipande njia
- Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
- Na wale walio hama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu baada ya kudhulumiwa, bila ya shaka
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers