Surah Sad aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sad aya 43 in arabic text(Sad).
  
   
ayat 43 from Surah Saad

﴿وَوَهَبْنَا لَهُ أَهْلَهُ وَمِثْلَهُم مَّعَهُمْ رَحْمَةً مِّنَّا وَذِكْرَىٰ لِأُولِي الْأَلْبَابِ﴾
[ ص: 43]

Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni rehema itokayo kwetu, na iwe kumbusho kwa watu wenye akili.

Surah Saad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We granted him his family and a like [number] with them as mercy from Us and a reminder for those of understanding.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni rehema itokayo kwetu, na iwe kumbusho kwa watu wenye akili.


Tukamkusanyia watu wake walio kuwa wametapanyika mbali naye siku zile za mateso yake. Na tukamzidishia wenginewe kama wale. Na tulifanya hayo kuwa ni rehema kutokana nasi, na ili yawe ni mawaidha kwa wenye akili, wapate kujua kuwa matokeo ya subira ni faraji.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 43 from Sad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika duniani na Akhera. Nao hawatapata wa kuwanusuru.
  2. Bali yamewadhihirikia waliyo kuwa wakiyaficha zamani. Na kama wangeli rudishwa bila ya shaka wange yarejea
  3. Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.
  4. La, hasha! Kwa hakika huo ni Moto mkali kabisa,
  5. Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na wakaazi wa Rassi na Thamudi.
  6. Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa kitako na wakilala, na hufikiri kuumbwa mbingu
  7. Njia ya Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye tu viliomo mbinguni na katika ardhi. Jueni
  8. Nusu yake, au ipunguze kidogo.
  9. Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
  10. Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Surah Sad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sad Al Hosary
Al Hosary
Surah Sad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, October 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers