Surah Sad aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ص ۚ وَالْقُرْآنِ ذِي الذِّكْرِ﴾
[ ص: 1]
S'ad, Naapa kwa Qur'ani yenye mawaidha.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Sad. By the Qur'an containing reminder...
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
sad, Naapa kwa Qurani yenye mawaidha.
sad: Ni harufi iliyo anzia Sura hii kama zilivyo anzia baadhi ya Sura nyengine kwa mpango wa Qurani katika kuanzia kwa harufi moja moja. Naapa kwa Qurani yenye utukufu na shani kubwa kuwa hakika hii ni Kweli isiyo na shaka yoyote.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
- Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
- Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
- Na Siku tutapo kusanya kutoka kila umma kundi katika wanao kadhibisha Ishara zetu, nao watagawanywa
- Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!
- Ijapo kuwa itawajia kila Ishara, mpaka waione adhabu iliyo chungu.
- Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
- Haya ni kwa sababu mlikuwa mkijitapa katika ardhi pasipo haki, na kwa sababu mlikuwa mkijishaua.
- Musa akasema: Hayo yamekwisha kuwa baina yangu na wewe. Muda mmojapo nikiumaliza sitiwi ubayani. Na
- Je! Hazikukufikieni khabari za walio kabla yenu? Kaumu ya Nuhu, na A'adi, na Thamud, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers