Surah Sad aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ص ۚ وَالْقُرْآنِ ذِي الذِّكْرِ﴾
[ ص: 1]
S'ad, Naapa kwa Qur'ani yenye mawaidha.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Sad. By the Qur'an containing reminder...
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
sad, Naapa kwa Qurani yenye mawaidha.
sad: Ni harufi iliyo anzia Sura hii kama zilivyo anzia baadhi ya Sura nyengine kwa mpango wa Qurani katika kuanzia kwa harufi moja moja. Naapa kwa Qurani yenye utukufu na shani kubwa kuwa hakika hii ni Kweli isiyo na shaka yoyote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale ambao wanapo tumia hawatumii kwa fujo wala hawafanyi ubakhili, bali wanakuwa katikati baina
- Basi akatoka, naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Akasema: Mola wangu Mlezi! Niokoe na
- Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.
- Na humo tuliwaandikia ya kwamba roho kwa roho, na jicho kwa jicho, na pua kwa
- Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.
- Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
- Na Mwenyezi Mungu alifanya agano na Wana wa Israili. Na tukawateulia kutokana nao wakuu kumi
- Basi walipo ingia kwa Yusuf walisema: Ewe Mheshimiwa! Imetupata shida, sisi na watu wetu. Na
- Na ili awapambanue walio kuwa wanaafiki, wakaambiwa: Njooni mpigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu au
- T'alaka ni mara mbili. Kisha ni kukaa kwa wema au kuachana kwa vizuri. Wala si
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



