Surah Najm aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ﴾
[ النجم: 46]
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
From a sperm-drop when it is emitted
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
Kutokana na manii yanayo miminwa. Makusudio ya Aya hii tukufu ni kuonyesha uwezo wa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba Yeye ameumba waume na wake katika wanaadamu na wanyama wote kutokana na tone ya manii ambayo humo humo mna ume na uke. Na juu ya udogo wake na udhaifu wake ndio chemchem ya uhai. Umuujiza wa Qurani unadhihirika katika Aya hii tukufu ukikumbuka kuwa ulimwengu ulikuwa haujui mpaka hivi karibu kuwa katika maji ya mwanamume ndio zimo mbegu -sperms- na katika maji ya mwanamke mna vijiyai -ova-, ndio vikikutana vijidudu vya manii ya mwanamume na vijiyai vya mwanamke vikawa kitu kimoja ndio hiyo huwa mimba. Ukweli huu ulitajwa na Qurani kabla ya kuvumbuliwa na ilimu za Sayansi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa Mlima wa Sinai!
- Na nini dhana ya wanao mzulia Mwenyezi Mungu kwa Siku ya Kiyama? Hakika Mwenyezi Mungu
- Na hilo kwa Mwenyezi Mungu si jambo gumu.
- Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
- Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
- Na haya maisha ya dunia si chochote ila ni pumbao na mchezo. Na nyumba ya
- Wale walio kufuru na kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu tutawazidishia adhabu juu ya adhabu, kwa
- Kwa nini usiwepo mji mmoja ukaamini na Imani yake ikawafaa - isipo kuwa kaumu Yunus?
- Na waliapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kuapa kwao, kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka
- Je! Mmewaona hawa mnao waabudu-
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب