Surah Takwir aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا الْوُحُوشُ حُشِرَتْ﴾
[ التكوير: 5]
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when the wild beasts are gathered
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa!
Na nyama mwitu wakusanywe kutoka vichakani mwao na mashimoni mwao, hawajijui hawajitambui kwa wingi wa kufazaika.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Sisi tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akawaambia: Hakika mimi ni mwonyaji kwenu ninaye bainisha,
- Tukasema: Usikhofu! Hakika wewe ndiye utakaye shinda.
- Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
- Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia.
- Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
- Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo
- Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako
- Na Mahurulaini,
- Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
- Na wakafuatia baada yao kizazi kibaya walio rithi Kitabu. Wakashika anasa za haya maisha duni,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers