Surah Shuara aya 47 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا آمَنَّا بِرَبِّ الْعَالَمِينَ﴾
[ الشعراء: 47]
Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "We have believed in the Lord of the worlds,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Wakasema ili kutia mkazo kule kusujudu kwao kwa kauli yao: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?
- Isipo kuwa kwa rehema zitokazo kwetu na starehe kwa muda.
- Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
- Sema: Alhamdu Lillahi! Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu! Na amani ishuke juu ya waja wake
- Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.
- Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
- Basi Mwenyezi Mungu atawalipa, kwa yale waliyo yasema, Bustani zipitazo mito katika yake; humo watadumu.
- Mnadhani mko salama kwa alioko juu kuwa hatakudidimizeni kwenye ardhi, na tahamaki hiyo inatikisika!
- Wakasema: Je! Wewe umeifanyia haya miungu yetu, ewe Ibrahim?
- Lakini watakapo iona karibu, nyuso za walio kufuru zitahuzunishwa, na itasemwa: Hayo ndiyo mliyo kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



