Surah Anfal aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 48 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿وَإِذْ زَيَّنَ لَهُمُ الشَّيْطَانُ أَعْمَالَهُمْ وَقَالَ لَا غَالِبَ لَكُمُ الْيَوْمَ مِنَ النَّاسِ وَإِنِّي جَارٌ لَّكُمْ ۖ فَلَمَّا تَرَاءَتِ الْفِئَتَانِ نَكَصَ عَلَىٰ عَقِبَيْهِ وَقَالَ إِنِّي بَرِيءٌ مِّنكُمْ إِنِّي أَرَىٰ مَا لَا تَرَوْنَ إِنِّي أَخَافُ اللَّهَ ۚ وَاللَّهُ شَدِيدُ الْعِقَابِ
[ الأنفال: 48]

Na pale Shet'ani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa kukushindeni hii leo, na hali mimi ni mlinzi wenu. Yalipo onana majeshi mawili, akarudi nyuma, na akasema: Mimi si pamoja nanyi. Mimi naona msiyo yaona. Mimi namwogopa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And [remember] when Satan made their deeds pleasing to them and said, "No one can overcome you today from among the people, and indeed, I am your protector." But when the two armies sighted each other, he turned on his heels and said, "Indeed, I am disassociated from you. Indeed, I see what you do not see; indeed I fear Allah. And Allah is severe in penalty."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na pale Shetani alipo wapambia vitendo vyao, na akawaambia: Hapana watu wa kukushindeni hii leo, na hali mimi ni mlinzi wenu. Yalipo onana majeshi mawili, akarudi nyuma, na akasema: Mimi si pamoja nanyi. Mimi naona msiyo yaona. Mimi namwogopa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu.


Na kumbukeni, enyi Waislamu! Pale Shetani alipo kuja kuwazaini hawa washirikina kwa kuwaonyesha kuwa wayatendayo ni mazuri kwa uchochezi wake, akiwaambia: Hapana mtu ye yote anaye weza kuwashinda. Na akawahakikishia kuwa yeye atawalinda, na kuwanusuru! Yalipo kutana makundi mawili katika vita, vitimbi vyake na uchochezi wake ukavunjika. Akarejea nyuma, na akajitoa nao, akaogopa Mwenyezi Mungu asimuangamize. Na Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 48 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
    Surah Anfal Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anfal Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anfal Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anfal Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anfal Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anfal Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anfal Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anfal Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anfal Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anfal Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anfal Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anfal Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers