Surah Hud aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 49 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 49 from Surah Hud

﴿تِلْكَ مِنْ أَنبَاءِ الْغَيْبِ نُوحِيهَا إِلَيْكَ ۖ مَا كُنتَ تَعْلَمُهَا أَنتَ وَلَا قَوْمُكَ مِن قَبْلِ هَٰذَا ۖ فَاصْبِرْ ۖ إِنَّ الْعَاقِبَةَ لِلْمُتَّقِينَ
[ هود: 49]

Hizi ni katika khabari za ghaibu tunazo kufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala watu wako, kabla ya hii. Basi subiri! Hakika Mwisho ni wa wachamngu.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is from the news of the unseen which We reveal to you, [O Muhammad]. You knew it not, neither you nor your people, before this. So be patient; indeed, the [best] outcome is for the righteous.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hizi ni katika khabari za ghaibu tunazo kufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala watu wako, kabla ya hii. Basi subiri! Hakika Mwisho ni wa wachamngu.


Hizo ni simulizi tulizo kusimulia wewe, ewe Nabii, juu ya Nuhu na kaumu yake. Hizo ni khabari za ghaibu ambazo hazijui ila Mwenyezi Mungu. Wewe wala watu wako hamkuwa mkizijua kwa namna hii, na kwa tafsili hii, kabla ya wahyi huu. Basi wewe vumilia maudhi ya watu wako, kama walivyo subiri Manabii wa kabla yako. Kwani mwisho wako ni kufuzu kama ulivyo kuwa mwisho wao hao. Na Mwisho mwema daima ni wa wale wanao iogopa adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa kuamini na kutenda vitendo vyema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 49 from Hud


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
    Surah Hud Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Hud Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Hud Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Hud Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Hud Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Hud Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Hud Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Hud Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Hud Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Hud Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Hud Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Hud Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers