Surah Jumuah aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jumuah aya 5 in arabic text(Friday).
  
   

﴿مَثَلُ الَّذِينَ حُمِّلُوا التَّوْرَاةَ ثُمَّ لَمْ يَحْمِلُوهَا كَمَثَلِ الْحِمَارِ يَحْمِلُ أَسْفَارًا ۚ بِئْسَ مَثَلُ الْقَوْمِ الَّذِينَ كَذَّبُوا بِآيَاتِ اللَّهِ ۚ وَاللَّهُ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
[ الجمعة: 5]

Mfano wa walio bebeshwa Taurati kisha wasiibebe, ni mfano wa punda anaye beba vitabu vikubwa vikubwa. Mfano muovu mno wa watu walio kadhibisha Ishara za Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.

Surah Al-Jumuah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The example of those who were entrusted with the Torah and then did not take it on is like that of a donkey who carries volumes [of books]. Wretched is the example of the people who deny the signs of Allah. And Allah does not guide the wrongdoing people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Mfano wa walio bebeshwa Taurati kisha wasiibebe, ni mfano wa punda anaye beba vitabu vikubwa vikubwa. Mfano muovu mno wa watu walio kadhibisha Ishara za Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.


Mfano wa Mayahudi walio funzwa Taurati, na wakalazimishwa waifuate, na wao hawakuifuata kwa vitendo, ni mfano wa punda aliye beba vitabu ambavyo hajui ndani yake mna nini. Ni mbaya mno mfano wa watu wanao kadhibisha Ishara za Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu hawasaidii kufikilia uwongofu watu ambao kazi yao ni kudhulumu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 5 from Jumuah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi alipo taka kumshika kwa nguvu yule aliye adui wao wote wawili, akasema: Ewe Musa!
  2. Basi kwa sababu ya kuvunja kwao ahadi zao, na kuzikataa kwao ishara za Mwenyezi Mungu,
  3. Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
  4. Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
  5. Na hapana kilicho wazuia watu kuamini ulipo wajia uwongofu na wakaomba maghfira kwa Mola wao
  6. Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
  7. Ewe Mola wangu Mlezi! Hakika umenipa utawala, na umenifunza tafsiri ya mambo. Ewe Muumba wa
  8. Wakasema: Ee baba yetu! Tuombee msamaha kwa dhambi zetu. Hapana shaka sisi tulikuwa na makosa.
  9. Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti
  10. Enyi mlio amini! Msivunje hishima ya alama ya Dini ya Mwenyezi Mungu wala mwezi mtakatifu,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jumuah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jumuah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jumuah Complete with high quality
Surah Jumuah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jumuah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jumuah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jumuah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jumuah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jumuah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jumuah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jumuah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jumuah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jumuah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jumuah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jumuah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jumuah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jumuah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jumuah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب