Surah Jumuah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jumuah aya 6 in arabic text(Friday).
  
   

﴿قُلْ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ هَادُوا إِن زَعَمْتُمْ أَنَّكُمْ أَوْلِيَاءُ لِلَّهِ مِن دُونِ النَّاسِ فَتَمَنَّوُا الْمَوْتَ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ الجمعة: 6]

Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa watu wengine, basi yatamanini mauti, ikiwa mnasema kweli.

Surah Al-Jumuah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "O you who are Jews, if you claim that you are allies of Allah, excluding the [other] people, then wish for death, if you should be truthful."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa watu wengine, basi yatamanini mauti, ikiwa mnasema kweli.


Ewe Muhammad! Sema: Enyi nyinyi mlio Mayahudi! Kama mnadai kwa uwongo kwamba nyinyi peke yenu ati ndio vipenzi vya Mwenyezi Mungu, basi takeni mauti kwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli katika hayo madai ya kwamba Mwenyezi Mungu anakupendeni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Jumuah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi
  2. Bali mtu ni hoja juu ya nafsi yake.
  3. Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawajua hao wanao zuilia, na wanao waambia ndugu zao: Njooni kwetu!
  4. Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
  5. Je! Wenye maradhi nyoyoni mwao wanadhani kwamba Mwenyezi Mungu hatazidhihirisha chuki zao?
  6. Mola wenu Mlezi ndiye anaye kuendesheeni marikebu katika bahari ili mtafute katika fadhila zake. Hakika
  7. Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa wao amenyoosha
  8. Na mkijitenga nao na vile wanavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu, basi kimbilieni pangoni, akufungulieni
  9. Na waambie wale wasio amini: Fanyeni muwezavyo, nasi pia tunafanya.
  10. Wakasema: Tumewakuta baba zetu wakiyaabudu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jumuah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jumuah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jumuah Complete with high quality
Surah Jumuah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jumuah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jumuah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jumuah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jumuah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jumuah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jumuah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jumuah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jumuah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jumuah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jumuah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jumuah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jumuah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jumuah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jumuah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب