Surah Jumuah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jumuah aya 6 in arabic text(Friday).
  
   

﴿قُلْ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ هَادُوا إِن زَعَمْتُمْ أَنَّكُمْ أَوْلِيَاءُ لِلَّهِ مِن دُونِ النَّاسِ فَتَمَنَّوُا الْمَوْتَ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ الجمعة: 6]

Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa watu wengine, basi yatamanini mauti, ikiwa mnasema kweli.

Surah Al-Jumuah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "O you who are Jews, if you claim that you are allies of Allah, excluding the [other] people, then wish for death, if you should be truthful."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa watu wengine, basi yatamanini mauti, ikiwa mnasema kweli.


Ewe Muhammad! Sema: Enyi nyinyi mlio Mayahudi! Kama mnadai kwa uwongo kwamba nyinyi peke yenu ati ndio vipenzi vya Mwenyezi Mungu, basi takeni mauti kwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli katika hayo madai ya kwamba Mwenyezi Mungu anakupendeni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Jumuah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Isipo kuwa washirikina ambao mliahidiana nao kisha wasikupunguzieni chochote, wala hawakumsaidia yeyote dhidi yenu, basi
  2. Na ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi, tena tubuni kwake. Hakika Mola wangu Mlezi ni
  3. Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
  4. Na tungeli penda tungeli kuonyesha hao na ungeli watambua kwa alama zao; lakini bila ya
  5. Basi mnakwenda wapi?
  6. Sema: Nyinyi mnayo miadi ya Siku ambayo hamtaakhirika nayo kwa saa moja, wala hamtaitangulia.
  7. Na lau kuwa ulipo ingia kitaluni kwako ungeli sema: Mashaallah! Alitakalo Mwenyezi Mungu huwa! Hapana
  8. Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama
  9. Na Mwenyezi Mungu huhakikisha Haki kwa maneno yake, hata wanga chukia wakosefu
  10. Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jumuah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jumuah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jumuah Complete with high quality
Surah Jumuah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jumuah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jumuah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jumuah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jumuah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jumuah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jumuah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jumuah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jumuah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jumuah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jumuah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jumuah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jumuah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jumuah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jumuah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, September 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers