Surah Al Alaq aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَرَأَيْتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ﴾
[ العلق: 13]
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Have you seen if he denies and turns away -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
Niambie khabari za huyu mwenye kukataza anapo yakadhibisha aliyo kuja nayo Mtume, na akapuuza Imani na vitendo vyema!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale watukufu katika kaumu yake wakasema: Hakika sisi tunakuona wewe umo katika upotofu ulio dhaahiri.
- Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
- Basi litapo pulizwa baragumu hapo hautakuwapo ujamaa baina yao siku hiyo, wala hawataulizana.
- Na siku hiyo tutawaacha wakisongana wao kwa wao. Na baragumu litapulizwa, na wote watakusanywa pamoja.
- Kwa hakika hao hawatakufaa kitu mbele ya Mwenyezi Mungu. Na hakika wenye kudhulumu ni marafiki
- Na hakika Harun alikwisha waambia kabla yake: Enyi watu wangu! Hakika nyinyi mmetiwa mtihanini tu
- Enyi watu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu juu yenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa
- Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
- Na hawatoacha kuwamo humo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers