Surah Al Alaq aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَرَأَيْتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ﴾
[ العلق: 13]
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Have you seen if he denies and turns away -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
Niambie khabari za huyu mwenye kukataza anapo yakadhibisha aliyo kuja nayo Mtume, na akapuuza Imani na vitendo vyema!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku hiyo walio kufuru na wakamuasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe juu yao. Wala hawataweza kumficha
- Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
- Alipo mwita Mola wake Mlezi kwa siri.
- Inakaribia kupasuka kwa hasira. Kila mara likitupwa kundi humo walinzi wake huwauliza: Kwani hakukujieni mwonyaji?
- Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa
- Siku hiyo marafiki watakuwa ni maadui, wao kwa wao, isipo kuwa wachamngu.
- Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako
- Na wale ambao hawatoi ushahidi wa uwongo, na pindi wapitapo penye upuuzi, hupita kwa hishima
- Hakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu atakapo ona yaliyo tangulizwa na mikono
- Hayo ni kwa sababu waliwaambia walio chukia aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu: Tutakut'iini katika baadhi ya
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers