Surah Assaaffat aya 98 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَرَادُوا بِهِ كَيْدًا فَجَعَلْنَاهُمُ الْأَسْفَلِينَ﴾
[ الصافات: 98]
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they intended for him a plan, but We made them the most debased.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
Kwa haya walikusudia kumteketeza, lakini Mwenyezi Mungu alimwokoa na ule moto baada ya wao kwisha mtumbukiza humo. Hadhi yake ikawa juu kwa utukufu ule, na Mwenyezi Mungu akawafanya wao ndio watu wa chini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
- Wakuletee kila mchawi mjuzi.
- Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
- Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
- Na zinazo farikisha zikatawanya!
- Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo ni Haki
- Mpaka siku ya wakati maalumu.
- Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani,
- Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers