Surah Hud aya 57 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 57 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 57 from Surah Hud

﴿فَإِن تَوَلَّوْا فَقَدْ أَبْلَغْتُكُم مَّا أُرْسِلْتُ بِهِ إِلَيْكُمْ ۚ وَيَسْتَخْلِفُ رَبِّي قَوْمًا غَيْرَكُمْ وَلَا تَضُرُّونَهُ شَيْئًا ۚ إِنَّ رَبِّي عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ حَفِيظٌ
[ هود: 57]

Na ikiwa watarudi nyuma, basi mimi nimekwisha kufikishieni niliyo tumwa kwenu. Na Mola wangu Mlezi atawaleta watu wengine badala yenu, wala nyinyi hamumdhuru kitu Yeye. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kuhifadhi kila kitu.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But if they turn away, [say], "I have already conveyed that with which I was sent to you. My Lord will give succession to a people other than you, and you will not harm Him at all. Indeed my Lord is, over all things, Guardian."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ikiwa watarudi nyuma, basi mimi nimekwisha kufikishieni niliyo tumwa kwenu. Na Mola wangu Mlezi atawaleta watu wengine badala yenu, wala nyinyi hamumdhuru kitu Yeye. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kuhifadhi kila kitu.


Na mkiukataa wito wangu, basi kukataa kwenu hakunidhuru kitu. Na mwisho mbaya utakuwa wenu. Kwani mimi nimekwisha kufikishieni ujumbe aliyo nituma Mwenyezi Mungu kwenu. Na sina jukumu ila kufikisha tu. Na Mwenyezi Mungu atakuangamizeni nyinyi, na awalete watu wengine wachukue majumba yenu na mali yenu! Na nyinyi hamumdhuru kitu chochote Yeye kwa kukataa kwenu kumuabudu! Hakika Mola wangu Mlezi ni Mlinzi wa kila kitu, Mwenye kujua kila kitu. Basi hapana katika mtendalo linalo fichikana kwake, wala haghafiliki kukutieni nguvuni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 57 from Hud


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
  2. Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa
  3. Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe
  4. Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
  5. Walio fuatwa watakapo wakataa wale walio wafuata, na hali ya kuwa wamekwisha iona adhabu; na
  6. Hakika watu wema watakunywa katika vinywaji vilivyo changanyika na kafuri,
  7. Na Yusuf akawaambia watumishi wake: Tieni bidhaa zao katika mizigo yao, ili wazione watakapo rudi
  8. Wanaume wana sehemu katika wanayo yaacha wazazi na jamaa walio karibia. Na wanawake wanayo sehemu
  9. Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
  10. Basi tukamwokoa yeye na ahali zake, isipo kuwa mkewe; tukamkadiria katika walio baki nyuma.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Surah Hud Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hud Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hud Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hud Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hud Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hud Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Hud Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hud Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hud Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hud Al Hosary
Al Hosary
Surah Hud Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hud Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 9, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب