Surah Shuara aya 78 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي خَلَقَنِي فَهُوَ يَهْدِينِ﴾
[ الشعراء: 78]
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who created me, and He [it is who] guides me.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
Ambae ndiye aliye nizua kabla sijawa chochote akaniumba kwa bora ya umbo, na akanitunukia uwongofu wa kunifikishia kwenye mafanikio yangu ya duniani na Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika wanao rudi nyuma baada ya kwisha wabainikia uwongofu, Shetani huyo amewashawishi na amewaghuri.
- Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi baina yangu na nyinyi. Hakika Yeye anawajua vyema waja
- Na huanguka kifudifudi na huku wanalia, na inawazidisha unyenyekevu.
- Kwa siku ya kupambanua!
- Hakika Mwenyezi Mungu huwakinga walio amini. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi kila khaini mwingi wa kukanya
- Sema: Sijui kama yapo karibu hayo mnayo ahidiwa, au Mola wangu Mlezi atayawekea muda mrefu.
- Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
- Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
- Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Pale pale Zakariya akamwomba Mola wake Mlezi, akasema: Mola wangu Mlezi! Nipe kutoka kwako uzao
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers