Surah Shuara aya 78 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي خَلَقَنِي فَهُوَ يَهْدِينِ﴾
[ الشعراء: 78]
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who created me, and He [it is who] guides me.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
Ambae ndiye aliye nizua kabla sijawa chochote akaniumba kwa bora ya umbo, na akanitunukia uwongofu wa kunifikishia kwenye mafanikio yangu ya duniani na Akhera.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukampa wema duniani, na hakika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
- Na walio tenda maovu, kisha wakatubia baada yake na wakaamini, hapana shaka kuwa Mola Mlezi
- Tulimpeleka Nuhu kwa kaumu yake, naye akasema: Enyi kaumu yangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna
- Na kwa kina A'adi tulimtuma ndugu yao Hud. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu!
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua
- Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Na ikiwa hamniamini, basi jitengeni nami.
- Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri
- Na nafsi zikaunganishwa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



