Surah Shuara aya 58 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ﴾
[ الشعراء: 58]
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And treasures and honorable station -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Tukawatoa, kadhaalika, kwenye khazina za dhahabu na fedha, na majumba waliyo kuwa wakiyakalia, wakineemeka kwa uzuri wake na ubora wa starehe zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
- Yeye anazo funguo za mbingu na ardhi. Na wale walio zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu,
- Na amefanya vikutumikieni vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi, vyote vimetoka kwake. Hakika katika hayo
- Basi wasamehe, na uwambie maneno ya salama. Watakuja jua.
- Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Kwa ulivyo nineemesha, basi mimi sitakuwa kabisa msaidizi wa wakosefu.
- Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
- Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi?
- Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
- Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



