Surah Shuara aya 58 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ﴾
[ الشعراء: 58]
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And treasures and honorable station -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Tukawatoa, kadhaalika, kwenye khazina za dhahabu na fedha, na majumba waliyo kuwa wakiyakalia, wakineemeka kwa uzuri wake na ubora wa starehe zake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara. Kama
- Huku wakitimua vumbi,
- Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo
- Kabla yao kaumu ya Nuhu walikanusha; wakamkanusha mja wetu, na wakasema ni mwendawazimu, na akakaripiwa.
- Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba
- Enyi kizazi tuliyo wachukua pamoja na Nuhu! Hakika yeye alikuwa mja mwenye shukrani.
- Nasi tutawaita Mazabania!
- Nao watapiga kelele waseme: Ewe Malik! Na atufishe Mola wako Mlezi! Naye aseme: Hakika nyinyi
- Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
- Kisha tunakivutia kwetu kidogo kidogo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers