Surah Hijr aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَضَيْنَا إِلَيْهِ ذَٰلِكَ الْأَمْرَ أَنَّ دَابِرَ هَٰؤُلَاءِ مَقْطُوعٌ مُّصْبِحِينَ﴾
[ الحجر: 66]
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We conveyed to him [the decree] of that matter: that those [sinners] would be eliminated by early morning.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali.
Na Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taala alimfunulia Luuti kwa kumwambia: Sisi tumewahukumia na kuwakadiria wakosefu kuteketea. Watangolewa itapoingia asubuhi, wala hatobaki hata mmoja wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na vipi mkufuru hali nyinyi mnasomewa Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu?
- Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
- Nyama zao hazimfikii Mwenyezi Mungu wala damu zao, lakini unamfikia uchamngu wenu. Namna hivi tumewadhalilisha
- Na anaye subiri, na akasamehe, hakika hayo ni katika mambo ya kuazimiwa.
- Wako juu ya viti wamekabiliana.
- Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
- Na pindi tukitaka kuuteketeza mji huwaamrisha wale wenye starehe na taanusi, lakini wao huendelea kutenda
- Na wanayo yaepuka madhambi makubwa na mambo machafu, na wanapo kasirika wao husamehe,
- Na kwa usiku na unavyo vikusanya,
- Basi inakuwaje unapo wasibu msiba kwa sababu ya yale iliyo tanguliza mikono yao? Hapo tena
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers