Surah Shuara aya 57 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ﴾
[ الشعراء: 57]
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So We removed them from gardens and springs
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
Tukawatoa Firauni na askari wake kwenye nchi yao iliyo fanana na mabustani yapitiwayo na mito kati yao, wakaangamia kwa kujitenga kwao na Haki, na kuchochewa kutaka kumfuatia Musa, kama ilivyo kuja katika Aya tatu zilizo tangulia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
- Isipo kuwa watu wa kuliani.
- Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
- Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.
- Mwenyezi Mungu, hapana mungu isipo kuwa Yeye. Na juu ya Mwenyezi Mungu nawategemee Waumini.
- Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
- Kwa hakika wale wanao penda uenee uchafu kwa walio amini, watapata adhabu chungu katika dunia
- Nendeni kwa Firauni. Hakika yeye amepindukia mipaka.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Mpaka siku ya wakati maalumu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



